Jinsi ya Kuandaa Mbegu Ya Uyoga
MAHITAJI : Unatakiwa kuwa na : Ø Chumba maalumu kisichopitisha mwanga Ø Presure cooker au jiko maalumu lenye moto mkali Ø Vyombo vya kuwekea mbegu kama vile glass Ø Maji salama Ø Ungaunga wa viazi vitamu Ø Uteute unaotokana na mchemsho wa viazi vitamu Ø Kibakuli kidogo chenye mfuniko na Ø Kipande cha uyoga (ambacho kitachanganywa na maji salama, ungaunga wa viazi vitamu, uteute unaotokana na mchemsho wa viazi vitamu, kwa ajili ya kutengeneza fangasi ambao watatumika kutengeneza mbegu ya uyoga) HATUA YA KWANZA: Kuandaa fangasi 1. Changanya kipande cha uyoga na maji salama, ungaunga wa viazi vitamu, uteute unaotokana na mchemsho wa viazi vitamu, kwa ajili ya kutengeneza fangasi ambao watatumika kutengeneza mbegu ya uyoga) 2. Baada ya kuchanganya mchangnyiko huo, chemsha mchanganyiko huo kwenye presha cooker au jiko la moto mkali. 3. Ipua na weka mchanganyiko huo kwenye vibakuli vidogo vinne vyenye mfuniko 4. Acha...


Comments
Post a Comment