Magonjwa ya Kuku
Magonjwa ya kuku yapo mengi. Hata hivyo siyo yote yanatokea mara kwa mara hapa Tanzania. IIi uweze kudhibiti yale yanayotokea katika kundi lako unahitaji kufahamu dalili za jumla za magonjwa hayo. Unapoigundua moja au zaidi ya dalili za ugonjwa au wadudu chukua hatua mara moja. Yapo magonjwa ambayo yanaweza kuangamiza kundi lote la kuku katika.muda mfupi.
Jihadhari na uwezekano wa kupatwa na hasara zinazoletwa na magonjwa ambayo unaweza kuyazuia.
Dalili za Jumla za Magonjwa ya Kuku
• Kuku kupoteza hamu ya kula.
• Kuzubaa na kukaa mahali pamoja kwa muda mrefu (Kutochangamka).
• Kushuka kwa kiwango cha utagaji wa mayai.
• Vifaranga kutokua upesi au kudumaa. - Macho kuwa na rangi nyekundu.
• Kujikunja shingo.
• Kutetemeka, kutoa majimaji puani, mdomoni na machoni.
• Kutoa mharo (kinyesi) wa rangi ya kijani au wenye mchanganyiko na damu au cheupe.
• Kukonda.
• Kukohoa.
Ukiona moja au zaidi ya dalili hizi katika kundi lako chukua hatua za kutibu zilizoelezwa hapa chini. Kama hali ni ngumu zaidi omba msaada kwa mtaalam wa tiba ya mifugo ili achunguze mara moja na kukushauri jambo la kufanya.
Ugonjwa | Chanzo | Dalili | Kudhibiti na Kutibu | ||||||||||||||||||||||||||||||
1. Kideri | Virusi | Kukohoa, kupumua | Vifaranga wachanjwe | ||||||||||||||||||||||||||||||
(Newcastle) | kwa shida. | katika juma lao la | |||||||||||||||||||||||||||||||
Mwili | kwanza. Chanjo la pili | ||||||||||||||||||||||||||||||||
kukosa nguvu; shingo | wanapofikisha umri wa miezi 4 na nusu. | ||||||||||||||||||||||||||||||||
kujikunja. | |||||||||||||||||||||||||||||||||
Kuharisha kijani. | Chanja kuku kila baada ya | ||||||||||||||||||||||||||||||||
Kuku hufa wengi | miezi mitatu | ||||||||||||||||||||||||||||||||
Kuhara damu. | |||||||||||||||||||||||||||||||||
2. Kuhara damu | Bakteria | Kuku hujikusanya pamoja. | • | Tunza usafi katika | |||||||||||||||||||||||||||||
(Coccidiosis) | Hawachangamki. | banda. | |||||||||||||||||||||||||||||||
Hushusha mbawa. | • | Lisha vifaranga chakula | |||||||||||||||||||||||||||||||
kilichochanganywa | |||||||||||||||||||||||||||||||||
na dawa | ya | kinga | |||||||||||||||||||||||||||||||
coccidiost | kama | ||||||||||||||||||||||||||||||||
Amprolium au Salfa. | |||||||||||||||||||||||||||||||||
• | Watenge | kuku | wote | ||||||||||||||||||||||||||||||
Walioambukizwa | na | ||||||||||||||||||||||||||||||||
Wapatie dawa kama | |||||||||||||||||||||||||||||||||
Amprolium au salfa au | |||||||||||||||||||||||||||||||||
Esb3. | |||||||||||||||||||||||||||||||||
3. Ndui ya kuku | Virusi | Malengelenge kwenye | • | Kuchana | kuku | wote | |||||||||||||||||||||||||||
(Fowl pox) | kishungi na kope za | wakiwa | na umri | wa | |||||||||||||||||||||||||||||
macho | na | sehemu zisizo | miezi miwili. | ||||||||||||||||||||||||||||||
na manyoya. | • | Watenge | kuku | wote | |||||||||||||||||||||||||||||
walioambukizwa | na | ||||||||||||||||||||||||||||||||
wapewe antibiotic kama | |||||||||||||||||||||||||||||||||
OTC plus au salfa. | |||||||||||||||||||||||||||||||||
4. Mafua ya kuku | Bakteria | Kuku uvimba uso na | • | Usafi wa banda | |||||||||||||||||||||||||||||
(Fowl coryza) | macho | • | Kuchanja kuku wote | ||||||||||||||||||||||||||||||
Kamasi hutirirka puani na | • | Kabla hawajaambukizwa | |||||||||||||||||||||||||||||||
mdomoni | kama | ni | tatizo | sugu | |||||||||||||||||||||||||||||
Kuhema kwa | shida | hata | katika eneo | ||||||||||||||||||||||||||||||
kukoroma. | • | Watibu | wanaougua | ||||||||||||||||||||||||||||||
Kukohoa. | kwa kutumia anti biotic | ||||||||||||||||||||||||||||||||
kama sulphamethazine, | |||||||||||||||||||||||||||||||||
streptomycine | na | ||||||||||||||||||||||||||||||||
vitamin | |||||||||||||||||||||||||||||||||
5. Kuharisha | Bakteria | Kuharisha | nyeupe | na | • | Usafi | wa | vyombo | na | ||||||||||||||||||||||||
nyeupe | hamu ya kula kupungua. | banda kwa ujumla | |||||||||||||||||||||||||||||||
• | Watenge | kuku | |||||||||||||||||||||||||||||||
wagonjwa | |||||||||||||||||||||||||||||||||
• | Tumia | dawa | kama | ||||||||||||||||||||||||||||||
Furazolidone | au | ||||||||||||||||||||||||||||||||
Sulfadimidine | |||||||||||||||||||||||||||||||||
• | Hata | vitunguu | |||||||||||||||||||||||||||||||
saumu | menya | robo | |||||||||||||||||||||||||||||||
kilo | utwange | nu | |||||||||||||||||||||||||||||||
kuchanganya | na | ||||||||||||||||||||||||||||||||
Maji lita moja. Chuja uwapatie maji haya kwa muda wa wiki moja. | |||||||||||||||||||||||||||||||||
Wadudu washambuliao Kuku | |||||||||||||||||||||||||||||||||
Viroboto, Chawa, | Kuku hawatulii, hujikuna | Wadudu | washambuliao | ||||||||||||||||||||||||||||||
Papasi | mara kwa mara. | Kuku | |||||||||||||||||||||||||||||||
Hupungukiwa na damu na | Usafi | wa | banda | na | |||||||||||||||||||||||||||||
uzito | mazingira | ||||||||||||||||||||||||||||||||
Wadudu | huonekana | Banda | lipitishe hewa ya | ||||||||||||||||||||||||||||||
mwilini | kutosha ili liwe kavu | ||||||||||||||||||||||||||||||||
Nyunyizia kuku na banda | |||||||||||||||||||||||||||||||||
zima dawa za kuua wadudu | |||||||||||||||||||||||||||||||||
kama vile Akheri powder, | |||||||||||||||||||||||||||||||||
Malathion, Servin n.k | |||||||||||||||||||||||||||||||||
Njia kuu za ujumla za kudhibiti magonjwa ni:
• Kutunza hali ya usafi ndani ya banda na kudhiditi kusiwe na unyevu
• Matandazo yakichafuka yabadilishwe.
• Vyombo vya maji visafishwe kila siku
• Jitahidi uepuke kufuga kwa njia ya huria ili kuku wako wasiambukizwe magonjwa kirahisi
• Epuka kufuga kuku wako pamoja na bata na khanga.Hawa ni wabebaji wa vimelea vya magonjwa ya kuku japo wao hubaki salama.
• Zingatia ratiba za chanjo kwa magonja yasiyo na tiba kama kideri na mengineyo ya virusi
Comments
Post a Comment